Mwenye uelewa juu ya uwakala wa Gesi za majumbani

Mwenye uelewa juu ya uwakala wa Gesi za majumbani

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,307
Reaction score
12,410
Nataka niwe wakala wa Gesi za majumbani nifanyaje?

Kampuni ninazohitaji ni Orxy na Taifa.

1627982841011.png

 
Me sjui kitu mkuu
Kama hujui kitu kwa nini umechangia? (In Sirro's voice)

Mtoa mada vuta subira. Watakuja wadau kukupa majibu. Ungekuwa uko Dodoma, ningekushauri uende Pale Ihumwa. Ni kilomita chache kutoka stendi kuu ya Nane Nane. Kuna kituo kikubwa cha Taifa gesi.

Naamini wangekupa A B C.
 
Mbona siku hizi mambo mengi yapo kiganjani ni mwendo wa kidijitali tu mkuu?

Ingia mtandaoni, tafuta mawasiliano ya taifa au oryx, waendee hewani wakupe muongozo.

Baada ya hapo, tafuta mtu mmoja anaefanya hiyo biashara myajenge ajupe darasa mujarab, hapa kila mtu anajua kila kitu mwishowe unaishia kutapeluwa.

Kama kweli unataka kuwekeza pesa yako hapo jiridhishe kwa habari za uhakika.
Vinginevyo utakuja kuleta uzi hapa utumalizuue bundle na tusipokua makini tukachezea ban.

Think global
 
Kama hujui kitu kwa nini umechangia? (In Sirro's voice)

Mtoa mada vuta subira. Watakuja wadau kukupa majibu. Ungekuwa uko Dodoma, ningekushauri uende Pale Ihumwa. Ni kilomita chache kutoka stendi kuu ya Nane Nane. Kuna kituo kikubwa cha Taifa gesi.

Naamini wangekupa A B C.
Wazee bhn,bado mnakaukoroni fulani ivi[emoji23]
 
Back
Top Bottom