mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Wewe sio?Uzi mzuri umekosa wachangiaji
Kama hujui kitu kwa nini umechangia? (In Sirro's voice)Me sjui kitu mkuu
Wewe sio?
Wazee bhn,bado mnakaukoroni fulani ivi[emoji23]Kama hujui kitu kwa nini umechangia? (In Sirro's voice)
Mtoa mada vuta subira. Watakuja wadau kukupa majibu. Ungekuwa uko Dodoma, ningekushauri uende Pale Ihumwa. Ni kilomita chache kutoka stendi kuu ya Nane Nane. Kuna kituo kikubwa cha Taifa gesi.
Naamini wangekupa A B C.