Mwenye uelewa kuhusu 1st degree, 2nd degree murder na felony

Mwenye uelewa kuhusu 1st degree, 2nd degree murder na felony

TheDreamer Thebeliever

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2018
Posts
2,490
Reaction score
3,584
Habari wadau!

Kwenye ile kesi ya "I can't breath" ya George Floyd Mmarekani mweusi kuna maneno nilikuwa nayasikia ambayo ni 1st degree, 2nd degree murderer na Ferony.

Pia kuna maneno kama Homocide, Suicide, Manslaughter je haya yanakuwa na maana gani kisheria na hukumu zake zipoje kwa hapa bongo maana juzi nimesikia mtu aliyeua amehukumiwa miaka minne jela wanataaramu wa sheria ebu tupeni ufafanuzi sisis maamuma wa sheria.
 
Tufanye watu wawili wamepanga deal la kumuua mtu kwa sababu yoyote, let's say life insurance. Kwakua wamekaa, wakaweka master plan, iyo ni first degree.

Ila second degree ndio ile umemfumania mtu, au umemkuta mwizi, ukampiga, kwa bahati mbaya au uzembe.

Felony sio murder ila ni criminal case kubwa, ambayo adhabu yake ni kifungo cha maisha, au deaths, mfano: murder, rape, burglary.

Homicide: case inayohusu mtu kumuua mtu.

Suicide: mfano mtu kujiua.

Manslaughter: ni kuua bila kukusudia, yaani ipo chini ya 2nd degree.
 
Back
Top Bottom