how tulikuwa watumwa
Member
- Jul 23, 2023
- 38
- 136
Habar wadau wa JamiiForums,
Naomba kuuliza nawezaje kufanya biashara ya Madawa ya kuulia wadudu shambani au kwenye mimea ivi kuna ugumu gani
Pia faida na hasara zake ni zipi?
Naomba kuuliza nawezaje kufanya biashara ya Madawa ya kuulia wadudu shambani au kwenye mimea ivi kuna ugumu gani
Pia faida na hasara zake ni zipi?