kwa yoyote mwenye uelewa na hili soko la DSE vizuri, nahitaji msaada ile kujua kwamba ni lazima uwe na broker ili uweze kujisajili kama investor mpya?! nimejaribu kuwasoma vizuri kupitia website yao lakini sijapata ufasaha kuhusu hawa brokers na je nikiwachagua pale kwenye kujaza fomu ya kujisajili kupitia page yao itakuwa na implication gani kwangu baadae?!