Mwenye uelewa naomba msaada kuhusu barabara za mitaa

Mwenye uelewa naomba msaada kuhusu barabara za mitaa

troiker

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
1,551
Reaction score
2,573
Nipo eneo moja wanarasimisha makazi, barabara wanazoziandaa hapa mtaani,zipo za mita 8, mita 6, na mita 4

Swali (1) je, barabara ya mtaa yenye mita 6 upana, ikiwekewa na mitaro gari zinweza pishana?

Swali (2) je, barabara yenye upana wa mita 6 inaweza kuwekewa rami na serikali ?
 
Nipo eneo moja wanarasimisha makazi, barabara wanazoziandaa hapa mtaani,zipo za mita 10, mita 8, na mita 6

Swali (1) je, barabara ya mtaa yenye mita 6 upana, ikiwekewa na mitaro gari zinweza pishana?

Swali (2) je, barabara yenye upana wa mita 6 inaweza kuwekewa rami na serikali ?
Nia yetu kurasimisha makazi ni ili mlipe kodi ya aridhi mnayokalia

Barabara iwe ya mita moja, nne au 6 au 10; magari yaweze au yasiwe kupishana hiyo ni Shauri yenu.

Muweke mitaro au musiweke mitaro ni juu yenu; mradi sisi tunavuta kodi yetu haina shida.

Halafu ili ujenge barabara kubwa na yenye mitaro kwenye eneo la squatter ni lazima uvunje majengo ya watu. Huoni kwamba serikali tutakosa asali ya kulamba i.e.kodi ya majengo ?

Siku nyingine uwe unauliza maswali yenye akili
 
Nipo eneo moja wanarasimisha makazi, barabara wanazoziandaa hapa mtaani,zipo za mita 10, mita 8, na mita 6

Swali (1) je, barabara ya mtaa yenye mita 6 upana, ikiwekewa na mitaro gari zinweza pishana?

Swali (2) je, barabara yenye upana wa mita 6 inaweza kuwekewa rami na serikali ?
Hizo za mita sita zinawekewa mitaro ndio, ila zina masharti. Ni gari ndogo tu ndio zitapita na ni one way, hakuna kupishana. Mara nyingi barabara inakuwa fupi inaenda kukutana na barabara ya two ways. Hilo linawezekana ila barabara haitakiwi kuwa ndefu sana.

Na hii inasababishwa na kujenga kabla ya kupima, hivyo wanajitahidi angalau mpate barabara, la sivyo wabomoe nyumba za watu na kuwalipa fidia.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Nipo eneo moja wanarasimisha makazi, barabara wanazoziandaa hapa mtaani,zipo za mita 10, mita 8, na mita 6

Swali (1) je, barabara ya mtaa yenye mita 6 upana, ikiwekewa na mitaro gari zinweza pishana?

Swali (2) je, barabara yenye upana wa mita 6 inaweza kuwekewa rami na serikali ?
Mita sita ni kubwa ndugu yangu, gari zitapisha vizuri tu.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Nia yetu kurasimisha makazi ni ili mlipe kodi ya aridhi mnayokalia

Barabara iwe ya mita moja, nne au 6 au 10; magari yaweze au yasiwe kupishana hiyo ni Shauri yenu.

Muweke mitaro au musiweke mitaro ni juu yenu; mradi sisi tunavuta kodi yetu haina shida.

Halafu ili ujenge barabara kubwa na yenye mitaro kwenye eneo la squatter ni lazima uvunje majengo ya watu. Huoni kwamba serikali tutakosa asali ya kulamba i.e.kodi ya majengo ?

Siku nyingine uwe unauliza yenye akili
Hoja unayo japo dhaifu na umeiwakilisha kizembe sana,kazi ya hili jukwaa ni namna bora ya kubadilishana fikra uelewa kwa nidhamu,huna akili
 
Hizo za mita sita zinawekewa mitaro ndio, ila zina masharti. Ni gari ndogo tu ndio zitapita na ni one way, hakuna kupishana. Mara nyingi barabara inakuwa fupi inaenda kukutana na barabara ya two ways. Hilo linawezekana ila barabara haitakiwi kuwa ndefu sana.

Na hii inasababishwa na kujenga kabla ya kupima, hivyo wanajitahidi angalau mpate barabara, la sivyo wabomoe nyumba za watu na kuwalipa fidia.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Makini sana boss wangu,imenikaa hii hoja yako
 
Tanzania suala la mipango miji ni kizungumkuti. Mkoloni kaja kaacha maeneo ya kueleweka kama Masaki na Obay.

Sisi waswahili tumepelekwa kusoma na bado mipango miji inatupa tabu. Na ukifanya rejea hata Magu hii wizara ilimshinda maana ina uozo usihimilika na ngumu kurekebisha(Kikwete alisema kipindi cha msiba wa Magu)

Tuje kwenye suala lako sasa na hizo barabara za mita ulizotaja. Hapo hakitafanyika chochote zaidi ni lazima mtaa wenu muwe na watu wenye ustaarabu na mmege viwanja vyenu kwa ajili ya njia mapema kabla haijawa too let.

Mapendekezo juu ya changamoto hii.
Kwa sasa tumeshachelewa, squaters zipo nyingi sana. Ila tunaweza punguza kasi hii kwa kuipima nchi nzima hasa yale maeneo mapya kabla hali haijawa mbaya zaidi.

Tena siku hizi teknolojia ishakuwa na itakuwa rahisi kupima maeneo yote ya nchi kwa drones, ila bajeti lazima iwekwe maana wanasiasa wetu wanaona hiyo kisiasa haitawapa point 3 za ushindi.
 
Tanzania suala la mipango miji ni kizungumkuti. Mkoloni kaja kaacha maeneo ya kueleweka kama Masaki na Obay.

Sisi waswahili tumepelekwa kusoma na bado mipango miji inatupa tabu. Na ukifanya rejea hata Magu hii wizara ilimshinda maana ina uozo usihimilika na ngumu kurekebisha(Kikwete alisema kipindi cha msiba wa Magu)

Tuje kwenye suala lako sasa na hizo barabara za mita ulizotaja. Hapo hakitafanyika chochote zaidi ni lazima mtaa wenu muwe na watu wenye ustaarabu na mmege viwanja vyenu kwa ajili ya njia mapema kabla haijawa too let.

Mapendekezo juu ya changamoto hii.
Kwa sasa tumeshachelewa, squaters zipo nyingi sana. Ila tunaweza punguza kasi hii kwa kuipima nchi nzima hasa yale maeneo mapya kabla hali haijawa mbaya zaidi.

Tena siku hizi teknolojia ishakuwa na itakuwa rahisi kupima maeneo yote ya nchi kwa drones, ila bajeti lazima iwekwe maana wanasiasa wetu wanaona hiyo kisiasa haitawapa point 3 za ushindi.
Naunga mkono hoja yako

Ndicho kinachofanyika mtaaani kwetu kwa sasa,na ramani inatoka hivi punde,

Wanachokifanya wapimaji warasimishaji ni kama mchoro tayari wanao hivyo wanashirikiana na jamii huku wakiwaambia kupitia wawakilishi wetu wa serikali za mitaa kwamba hapa umezidi hapa ondoa,hivyo mchoro unatoka na kuonyesha wewe uko barabani let say chumba kimoja,hivyo utaondoa mwenyewe tu
 
Tanzania suala la mipango miji ni kizungumkuti. Mkoloni kaja kaacha maeneo ya kueleweka kama Masaki na Obay.

Sisi waswahili tumepelekwa kusoma na bado mipango miji inatupa tabu. Na ukifanya rejea hata Magu hii wizara ilimshinda maana ina uozo usihimilika na ngumu kurekebisha(Kikwete alisema kipindi cha msiba wa Magu)

Tuje kwenye suala lako sasa na hizo barabara za mita ulizotaja. Hapo hakitafanyika chochote zaidi ni lazima mtaa wenu muwe na watu wenye ustaarabu na mmege viwanja vyenu kwa ajili ya njia mapema kabla haijawa too let.

Mapendekezo juu ya changamoto hii.
Kwa sasa tumeshachelewa, squaters zipo nyingi sana. Ila tunaweza punguza kasi hii kwa kuipima nchi nzima hasa yale maeneo mapya kabla hali haijawa mbaya zaidi.

Tena siku hizi teknolojia ishakuwa na itakuwa rahisi kupima maeneo yote ya nchi kwa drones, ila bajeti lazima iwekwe maana wanasiasa wetu wanaona hiyo kisiasa haitawapa point 3 za ushindi.
Hapa nasubiri mchoro niuone maana wanakasetilaiti wanako,na kuna maeneo hawajayapima kipimo kimekataa ya kwamba wako kwenye reserve ya mto,

Hii inaonyesha kuna ramani tayari wanayo
 
Watu wa survey na construction walio enda field watakuja kutupa mwongozo.
Ila urasimishaji wa makazi nadhani unaambatana na wataalamu wenyewe hakuna kinacho haribika.
 
Hoja unayo japo dhaifu na umeiwakilisha kizembe sana,kazi ya hili jukwaa ni namna bora ya kubadilishana fikra uelewa kwa nidhamu,huna akili
Sijui ambaye hana akili ni sisi au ni nyie mapopoma mliyekwenda kujilundika sehemu moja kama siafu, halafu mnataka barabara ya njia sita na mitaro ya maji.
 
Hakuna gari inazidi Mita 2 upana, hiyo Barabara mnapisha vizuri tu.
 
Gari nyingi zina upana wa 1M - 2M hivo kwa barabara yenye 6M bas mitaro inajengwa na gari zinapishana vema kabisa
 
Nia yetu kurasimisha makazi ni ili mlipe kodi ya aridhi mnayokalia

Barabara iwe ya mita moja, nne au 6 au 10; magari yaweze au yasiwe kupishana hiyo ni Shauri yenu.

Muweke mitaro au musiweke mitaro ni juu yenu; mradi sisi tunavuta kodi yetu haina shida.

Halafu ili ujenge barabara kubwa na yenye mitaro kwenye eneo la squatter ni lazima uvunje majengo ya watu. Huoni kwamba serikali tutakosa asali ya kulamba i.e.kodi ya majengo ?

Siku nyingine uwe unauliza maswali yenye akili
Uko sahihi wajifunze kujenga katika maeneo yaliyopangwa na kupimwa huko watapata barabara zilizopo Kwa mujibu wa Sheria na kanuni. Urasimishaji haufanyiki kuboresha makazi wala barabara lengo ni kupata uhalali wa kuwabana Kwenye maduhuli (Kodi ya Ardhi).
 
Back
Top Bottom