Mwenye uelewa wa neno 'frequency' naomba atujuze kwa kina

Mwenye uelewa wa neno 'frequency' naomba atujuze kwa kina

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Habarini wajuzi mbali mbali mliopo hapa, kwani inasemekana frequency au series za namba fulani au hyper hidden knowledge ambayo ina uhusiano na nguvu za ndani za kimwili huweza kutengeneza uwezo usio wa kawaida.

Mfano katika kitabu cha anakh, viumbe jamii ya majini wanadai wao wana high frequency ya kuweza kutuona binadamu kwa vizuri sana mpaka hata viungo vya ndani lakini wanadai sisi humanoid kwa sababu tuna low frequency ni ngumu sana kuwaona wao unless utumike ujuzi wa kutafuta namba maalumu ziwe attached na mwanadamu ndio uweze kuwaona wao.

Naomba mwenye ujuzi huu anijuze The power of frequency
 
Frequency ni marudio ya hatua/mapigo/mzunguko fulani kwa muda fulani.

Mfano ni tairi la baiskeli linapofanya mzunguko mmoja kwa sekunde, hiyo ni sawa na frequency mmoja. Frequency inatumia kipimo cha hertz (Hz). Kadiri tairi linavyozunguka haraka frequency nayo inaongezeka, ikimaanisha litazunguka mara nyingi katika sekunde ile ile moja.

Mwanga wa jua pia unatoa frequencies nyingi ila tunaotambua sisi binadamu ni huo mwanga wa rangi saba ( zile za upinde wa mvua).

Wakati tsunami ile ya kule mashariki ya mbali ilipotokea, wanyama wote kama mbwa na paka walikimbilia sehemu zenye miinuko, dakika 30 kabla ya wimbi la kwanza kuja. Wao waliweza kuhisi frequency za hilo wimbi ila binadamu hawakuweza.

Viumbe hai mbalimbali wanauwezo tofauti wa kutambua frequencies mbalimbali. Mfano binadamu wanauwezo wa kusikia sauti kati ya frequency ya 20Hz na 20KHz, nje ya hapo binadamu hawezi kusikia. Mbwa kwa upande mwingine anaweza kusikia sauti zaidi ya 20kH.

Hata inapokuja kwenye kuona kuna frequencies chache sana ambazo binadanu wanauwezo wa kuona (visible light) nje ya hapo hatuoni. Mfano kwenye giza totoro, binadamu anakuwa kipofu ila kuna baadhi ya wanyama , kama nyoka, wanaweza kuona vizuri tuu usiku. Hii ni kwasababu wanauwezo wa kutambua lower frequencies kama infra red.

Kuhusu hivyo viumbe vinavyoweza kutuona, kama kweli, vipo basi vitakuwa vinaweza kutambua ranges nyingi za frequencies kuliko sisi.
 
Frequency ni marudio ya hatua/mapigo/mzunguko fulani kwa sekunde ....
... not necessarily kwa sekunde but any unit of time even if second is the SI unit. In some contexts seconds will make sense but in others won't make much sense; rather, hours, years, even centuries are more suitable.
 
Frequency ni marudio ya hatua/mapigo/mzunguko fulani kwa sekunde.

Mfano ni tairi la baiskeli linapofanya mzunguko mmoja kwa sekunde, hiyo ni sawa na frequency mmoja. Frequency inatumia kipimo cha hertz (Hz). Kadiri tairi linavyozunguka haraka frequency nayo inaongezeka, ikimaanisha litazunguka mara nyingi katika sekunde ile ile moja.

Mwanga wa jua pia unatoa frequencies nyingi ila tunaotambua sisi binadamu ni huo mwanga wa rangi saba ( zile za upinde wa mvua).

Wakati tsunami ile ya kule mashariki ya mbali ilipotokea, wanyama wote kama mbwa na paka walikimbilia sehemu zenye miinuko, dakika 30 kabla ya wimbi la kwanza kuja. Wao waliweza kusikia frequency za hilo wimbi ila binadamu hawakuweza.

Viumbe hai mbalimbali wanauwezo tofauti wa kutambua frequencies mbalimbali. Mfano binadamu wanauwezo wa kusikia sauti kati ya frequency ya 20Hz na 20KHz, nje ya hapo binadamu hawezi kusikia. Mbwa kwa upande mwingine anaweza kusikia sauti zaidi ya 20kH.

Hata inapokuja kwenye kuona kuna frequencies chache sana ambazo binadanu wanauwezo wa kuona (visible light) nje ya hapo hatuoni. Mfano kwenye giza totoro, binadamu anakuwa kipofu ila kuna baadhi ya wanyama , kama nyoka, wanaweza kuona vizuri tuu usiku. Hii ni kwasababu wanauwezo wa kutambua lower frequencies kama infra red.

Kuhusu hivyo viumbe vinavyoweza kutuona, kama kweli, vipo basi vitakuwa vinaweza kutambua ranges nyingi za frequencies kuliko sisi.
Thank you una knowledge kubwa sana,thank you tujuze zaidi.
 
Inasemekana mbwa,punda na baadhi ya wanyama wachache sana huweza kuona viumbe ambavyo sisi binadamu hatuwezi kuviona ingawa tuka navyo kwenye maisha yetu ya kila siku, je wanyama ufahamu wao na macho yao huwa na kilo hertz ngapi mpaka kufanikiwa kuona visivyoonekana,nje ya mitetemo ya hisia ?
 
frequency ni kipimo au jina maalumu kwa ajili ya kujua uwezo wa mawimbi kwa vipimo cha heartz(HZ).

frequency inaweza kuwa mawimbi sumaku,mawimbi ya bahari,mawimbi ya tetemeko,mawimbi joto na n.k

kuitwa jina la frequency ni kipimo kilicho kubaliwa na idara ya sayansi kama unaona vipimo kama mfano force,gravity,ohm,acceleration na n.k

IMG_0911.jpg


unataka kujua zaadi
 
Back
Top Bottom