Shedyngwavi
Member
- Apr 1, 2020
- 12
- 7
Atakuwaje na machine wakati uwakala wa bank hana?
Alitakiwa aulize swali hilo akiambatanisha na maelezo ya ziadaAtakuwaje na machine wakati uwakala wa bank hana?
Noma kweliMimi in mjasiliamali ambaye pia ninatoa huduma miamala ya kifedha kupitia simu yaani M-Pesa, Tigo Pesa, Airtel Money na Holapesa. Ninatamani niweke na huduma za bank lakini mtaji wangu ni mdogo kwahiyo nimefikiri nikope pesa kwaajili ya huduma ya kibenki na mahali nilipo wateja wapo.
Swali langu, je kamisheni zake zitaniwezesha kulipa mkopo?
Sent using Jamii Forums mobile app