naifahamu mwenge ile ya mchanganyiko pale pondini palihusika sana shule ilikuwa inakusanya wanafunzi nchi nzima,ni wakati ambapo serikali ilikuwa inathamini shule zake tulikuwa tunasoma na watoto wa wabunge,wakuu wa mikoa wilaya,mawaziri kiroho safi hiyo ilisaidia sana kujenga umoja wa kitaifa sio leo wakimbilia ikulu wanajisifia majengo ya shule za kata ngoja niishie hapa