Mwenye ufahamu na hii kitu "re-categorizion msaada tafadhali"

Mwenye ufahamu na hii kitu "re-categorizion msaada tafadhali"

Abdulaziz ramadhani

New Member
Joined
Oct 25, 2024
Posts
3
Reaction score
4
Mtumishi akienda kujiendeleza katika fani nyengine akirudi anafanyiwa re- categorization maana yake anahama na mshahara uleule au inakuaje? na kwanni halamashaur zinakataa kutoa ruhusa mtumishi kujiendeleza fani tofauti naomba mjuzi anifafanulie
 
Mtumishi akienda kujiendeleza katika fani nyengine akirudi anafanyiwa re- categorization maana yake anahama na mshahara uleule au inakuaje? na kwanni halamashaur zinakataa kutoa ruhusa mtumishi kujiendeleza fani tofauti naomba mjuzi anifafanulie
Mshahara wake atapokea atakaokuta baada ya re-categorization, kama ulikuwa juu zaidi ya kule alikotoka ni bahati yake na kama utakuwa wa chini ni hasara kwake. Halmashauri zinakataa kujiendeleza tofauti Kwa Sababu zina-uhitaji mkubwa wa fani Yako, Sasa ikitokea umesoma tofauti maana yake watakufanyia re-categorization halafu Ile nafasi uliyokuwepo awali itapotea na watalazimika kutafuta mtu mwingine ambapo kwao ni gharama. Kwa hiyo Kila mtu anaangalia upande wake, wewe unaangalia upande wako Kwa kubadilisha fani ambapo ni faida kwako na Halmashauri inaangalia lwa upande wake ambapo wewe ukibadilishwa itakuwa ni hasara kwao.
 
Mshahara wake atapokea atakaokuta baada ya re-categorization, kama ulikuwa juu zaidi ya kule alikotoka ni bahati yake na kama utakuwa wa chini ni hasara kwake. Halmashauri zinakataa kujiendeleza tofauti Kwa Sababu zina-uhitaji mkubwa wa fani Yako, Sasa ikitokea umesoma tofauti maana yake watakufanyia re-categorization halafu Ile nafasi uliyokuwepo awali itapotea na watalazimika kutafuta mtu mwingine ambapo kwao ni gharama. Kwa hiyo Kila mtu anaangalia upande wake, wewe unaangalia upande wako Kwa kubadilisha fani ambapo ni faida kwako na Halmashauri inaangalia lwa upande wake ambapo wewe ukibadilishwa itakuwa ni hasara kwao.
Umejibu vizuri sana
 
Mshahara wake atapokea atakaokuta baada ya re-categorization, kama ulikuwa juu zaidi ya kule alikotoka ni bahati yake na kama utakuwa wa chini ni hasara kwake. Halmashauri zinakataa kujiendeleza tofauti Kwa Sababu zina-uhitaji mkubwa wa fani Yako, Sasa ikitokea umesoma tofauti maana yake watakufanyia re-categorization halafu Ile nafasi uliyokuwepo awali itapotea na watalazimika kutafuta mtu mwingine ambapo kwao ni gharama. Kwa hiyo Kila mtu anaangalia upande wake, wewe unaangalia upande wako Kwa kubadilisha fani ambapo ni faida kwako na Halmashauri inaangalia lwa upande wake ambapo wewe ukibadilishwa itakuwa ni hasara kwao.
Asante sana kiongoz
 
Back
Top Bottom