Mwenye ufahamu na vyuo vinavyotoa degree ya Computer Science

Mwenye ufahamu na vyuo vinavyotoa degree ya Computer Science

chr1xt0pher

Member
Joined
Mar 12, 2022
Posts
8
Reaction score
10
Habari za siku ya leo,

Swali lang ni kwa yeyote anayejua baadhi ya vyuo mbalimbali vinavyotoa degree za computer science.

Nitashukuru Sana maana nipo kwenye mikakati ya kutafuta ila sioni mafanikio yoyote.

Pia kama kuna anayejua baadhi ya website zinazotoa course kama hizi pia naomba anisaidie niweze kuzijua
 
Like seriously!??

Anyway, start with the bests.

UDOM

CoICT-UDSM

DIT

AAI

OUT
 
OUT hakuna computer science, kuna ICT tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ipo na inatambulika kama Bachelor of Science (Bsc.).

Nakuonea huruma na nakupa pole sana... Uwe unasona Thread headings then think before concluding and finally reply with confidence.

This is JF not Facebook or Instagram. Watu humu hawakurupuki kama kitu hukifahamu vizuri ni vizuri kunyamaza kuliko kubisha na kupotosha.

Enjoy!
 
Ipo na inatambulika kama Bachelor of Science (Bsc.).

Nakuonea huruma na nakupa pole sana... Uwe unasona Thread headings then think before concluding and finally reply with confidence.

This is JF not Facebook or Instagram. Watu humu hawakurupuki kama kitu hukifahamu vizuri ni vizuri kunyamaza kuliko kubisha na kupotosha.

Enjoy!
We ndio zero brain kabisa,


We ka-comment mijadala ya ngwini hizi mada ya science temana nayo sio size yako.


Kwa hiyo kuitwa bsc tayari ni computer science, pole sana...nenda kasome maji maji war


Haya nionyeshe iko wapi hapa degree ya computer science.

Kwa taarifa yako we kihiyo, hiyo bsc ni bsc general ,katafute program structure yake ili uje ufute comment yako.
Screenshot_20220514-073040.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
We ndio zero brain kabisa,


We ka-comment mijadala ya ngwini hizi mada ya science temana nayo sio size yako.


Kwa hiyo kuitwa bsc tayari ni computer science, pole sana...nenda kasome maji maji war


Haya nionyeshe iko wapi hapa degree ya computer science.

Kwa taarifa yako we kihiyo, hiyo bsc ni bsc general ,katafute program structure yake ili uje ufute comment yako.View attachment 2223773

Sent using Jamii Forums mobile app
- unawezaje kumzuia/kumpiga marufuku asichangie mada hapa jf Wakati mada iko wazi Kwa yeyote.
-unamuita ngwini, akasome majimaji war, unadhani ukisoma science ndiyo utatoboa? Mnaweza kuishia wote tgs d halmashauri
 
- unawezaje kumzuia/kumpiga marufuku asichangie mada hapa jf Wakati mada iko wazi Kwa yeyote.
-unamuita ngwini, akasome majimaji war, unadhani ukisoma science ndiyo utatoboa? Mnaweza kuishia wote tgs d halmashauri
Nimzue ku-comment kwani mi max mello?

Umeona alivyo comment huko juu?


Haya na wewe kamalizie mfekane war.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jf imevamiwa na watoto waliomaliza Alevel..tuwavumilie na tuwasaidie kwa info wakasome degree waje kitaa kubanane.

#MaendeleoHayanaChama
 
Chuo: UNITED AFRICAN UNIVERSITY OF TANZANIA.

Ownership: Private (Korean Church Mission)

Course: Bachelor of Computer Engineering and Information technology

Location: Kigamboni, Dar es Salaam.

Tuition Fee: TSHS 1,500,000

Accommodation: Available (Tshs 220,000 per semester)
 
Kwa hiyo wewe mpima ushaona hapa ni LinkedIn yaani kila mtu aanze kuweka professional profile?!!!

Once you are zero brain you will always be.

Sent using Jamii Forums mobile app
- ww ndiyo zero brain hujioni hata namba unavyojenga hoja
-gretthinker hawezi kudharau mfecane war, Kwa kipimo hicho umeonesha jinsi ulivyo kichwa kitupu,bongolala
-Hujazuiwa kutaja taaluma yako hapa jf Kama unaogopa kutaja taaluma yako hiyo nayo ni Sehemu ya Kuwa zero brain...
 
- ww ndiyo zero brain hujioni hata namba unavyojenga hoja
-gretthinker hawezi kudharau mfecane war, Kwa kipimo hicho umeonesha jinsi ulivyo kichwa kitupu,bongolala
-Hujazuiwa kutaja taaluma yako hapa jf Kama unaogopa kutaja taaluma yako hiyo nayo ni Sehemu ya Kuwa zero brain...

1- "namba unavyojenga hoja"

2-"gretthinker"

3-"Hujazuiwa"

Then,

"Kama unaogopa kutaja taaluma yako hiyo nayo ni Sehemu ya Kuwa zero brain"

So kama hujazuiwa kitu then usipofanya you are zero brain?!!

Hebu malizia hii equation then utajiona hata kuwa zero nimekupendelea sana, maana kuandika hajui ku-reason empty, unafikiri uta argue na mimi?!!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
1- "namba unavyojenga hoja"

2-"gretthinker"

3-"Hujazuiwa"

Then,

"Kama unaogopa kutaja taaluma yako hiyo nayo ni Sehemu ya Kuwa zero brain"

So kama hujazuiwa kitu then usipofanya you are zero brain?!!

Hebu malizia hii equation then utajiona hata kuwa zero nimekupendelea sana, maana kuandika hajui ku-reason empty, unafikiri uta argue na mimi?!!



Sent using Jamii Forums mobile app
  • ww ni zero brain Kwa kushindwa kujua umuhimu wa vitu vidogo vidogo mfano majimaji war, mfecane war Hilo pia linatosha kuthibitisha kuwa ni zero brain
  • umenipendelea kuwa zero wakati ww mwenyewe vitu ulivyoanza kuviandika awali vinaonyesha huna uwezo wa akili na uchambuzi wa mambo wa kutosha, unadharau Waliosoma mfecane,majimaji hujui hao ndiyo kina kibatala ukipelekwa segerea
  • akili kubwa huwa hatudharau dharau taaluma nyingine.
 
  • ww ni zero brain Kwa kushindwa kujua umuhimu wa vitu vidogo vidogo mfano majimaji war, mfecane war Hilo pia linatosha kuthibitisha kuwa ni zero brain
  • umenipendelea kuwa zero wakati ww mwenyewe vitu ulivyoanza kuviandika awali vinaonyesha huna uwezo wa akili na uchambuzi wa mambo wa kutosha, unadharau Waliosoma mfecane,majimaji hujui hao ndiyo kina kibatala ukipelekwa segerea
  • akili kubwa huwa hatudharau dharau taaluma nyingine.

Hiiiiii eti akili kubwa huwa hatudharau taaluma nyingine, hii dunia ina vitu vinachekesha.

Ona sasa unavyojikanyaga hivyo kuthibitisha ulivyokosa consistency


1-paragraph yakwanza unasema mfecane ni vitu vidogo

2- paragraph ya mwisho akili kubwa eti hamdharau taaluma nyingine!!


Unadhalilisha fani yako ya upima, na sidhani kama ulikaa darasani ukapiga hizo survey unazojikosha....wangelamba kichwa mapema sana, wewe hata maji maji sio size yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom