Kamgomoli JF-Expert Member Joined May 3, 2018 Posts 1,896 Reaction score 4,058 Oct 3, 2022 #1 Naomba mwenye uzoefu wa hii gari anisaidie kuhusu uzuri na mapungufu yake, kama vile matumizi ya mafuta n.k. Ni gari ambayo nimetokea kuvutiwa nayo kwa muonekano wake wa nje japo ya ndani siyajui.
Naomba mwenye uzoefu wa hii gari anisaidie kuhusu uzuri na mapungufu yake, kama vile matumizi ya mafuta n.k. Ni gari ambayo nimetokea kuvutiwa nayo kwa muonekano wake wa nje japo ya ndani siyajui.
Kamgomoli JF-Expert Member Joined May 3, 2018 Posts 1,896 Reaction score 4,058 Oct 4, 2022 Thread starter #2 [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
chillo clan conscious JF-Expert Member Joined Oct 6, 2016 Posts 850 Reaction score 1,567 Oct 4, 2022 #3 Engine size 3000 Staff gear Utakuja kulia na vipuri pindi tu itakapo kuja zingua,utakosa hata used spare,hapa bongo umeziona ngapi hizo gari?.
Engine size 3000 Staff gear Utakuja kulia na vipuri pindi tu itakapo kuja zingua,utakosa hata used spare,hapa bongo umeziona ngapi hizo gari?.
Kamgomoli JF-Expert Member Joined May 3, 2018 Posts 1,896 Reaction score 4,058 Oct 4, 2022 Thread starter #4 Hii inauzwa mil.20