hiki chuo kipo maeneo ya fire-dsm kabisa pale kwenye mataa ya fire unakiona, ni chuo cha wahindi NA MOST OF THE STUDENT NI WAHIND ,KATIKA REPUTATION HERE IN DSM SIO KIVILE NI KAMA VILE NEW HORIZON CURICULUMN ZAO ZILIVYO NI CHUO KIDOGO TU KWANI WEWE UKO WAPI?SIJUI ZAIDI YA HAPO MKUU
Thanks kwa taarifa mkuu, mie nipo dom, wametangaza nafasi za tutors na mid sifa ninazo, vp kama unafahamu maslahi yao maana kama wamiliki ni wahindi hawa jamaa wana sifa za unyonyaji kimaslahi, please tujuzane tusije ingia choo cha kike
Mwache aendeleze uoga wake maana usimwamshe alielala kama hataki kuamka mpaka labda kuwe na tetemeko au sunami, wengine wanaaply maswali hayo mengine watayajua wakiitwa kenye interview.Sasa wewe hata kuaply hujaaply unaanza kuulizia maslahi