Habari zenu wajasiria mali naomba kwa mfugaji wa kuku mwenye uwezo wa kusupply kuku 25-30 kila siku tuwassiliane ata kama una uwezo wa kuwa nao angalau kwa wiki anagalau mara mbili au tatu uwe uko Dar es salaam kama wewe ni mfugaji usisite kunitafuta niwe na mawasiliano na wewe nitakuulizia mara kwa mara.
Simu yangu:
0784321716
Simu yangu:
0784321716