Figo ya samia bushiri ni shingapi mimi naitaka hiyo.Habari zenu wakuu,
Kwa yeyote mwenye mgonjwa au yeye anahitaji figo kwa ajili ya matibabu kuna jamaa yangu yupo tayari kujitolea yeye ni blood group O. Njoo pm
Maelewano yenu tu! Kazi yangu kufikisha huu ujumbeKujitolea au anauza?
Ni figo tu mkuu kwa mwenye uhitaji kuhusu bure hapo uongoAnajitolea tu bure? Je na moyo nao kama mtu anahitaji?
Haiwezi ikawa bureKujitolea au anauza?
HapanaaAnajitolea meaning BURE!?
Vipimo vyote vitafanyikaImenona?Hauna gubu?Madeni?Siyo tupeane vitu ambavyo "tiharahehi" wana mchongo navyo.
Sio masihara wakuu ni issues seriousPolepole mtoa mada ni figoo au damu kwahy mwili wa jamaa ni kama spea wakitaka mikono miguu nk asee kweli bhana hakikisha mpaka Wachawi unawakomoa na wale funza wanaambulia patupu kula chako mapema
Nilishawahi kuwa na rafiki kipenzi mwenye ili jina insta π