Mwenye uhitaji wa Mwalimu wa masomo ya Chemistry, Biology na Physics

Mwenye uhitaji wa Mwalimu wa masomo ya Chemistry, Biology na Physics

Mwamundela

Member
Joined
Aug 28, 2013
Posts
49
Reaction score
71
Habari wanajamvi, poleni na majukumu ya kila siku.

Mimi ni mwalimu kwa taaluma ,nimesoma Bachelor of science with Education (Bsc EDUCATION) Na nimehitimu mwaka 2017.

Nina uzoefu wa kufundisha Chemistry na Biology Kwa miaka mitano(5) Kwa NGAZI zote yaan A-Level na O- Level. Napatikana kitunda Dar es Salaam.

Kama kuna shule inahitaji Mwalimu wa masomo haya nko tayari. Pia niko na tution nafundisha hapa kivule, pamoja na walimu wenzangu wa masomo mengine.

Na kwa wale wazazi ambao hawapendi watoto wao waende mbali tunafanya tutoring Kwa kuwafuata nyumbani Kwa Bei nafuu kabisa (hapa ni pamoja na wale wa primary school). Soon tutakuwa pia na huduma ya pre-form one. Kwa mwenye uhitaji naomba anitumie ujumbe, (ani PM) ili kuweza kuwasiliana.

Ahsanteni.
 
Mkuu hapo kwenye center yako mnahitaji mwalimu wa mathematics? Kama unahitaji nicheki
 
Habari wanajamvi, poleni na majukumu ya kila siku.

Mimi ni mwalimu kwa taaluma ,nimesoma Bachelor of science with Education (Bsc EDUCATION) Na nimehitimu mwaka 2017.

Nina uzoefu wa kufundisha Chemistry na Biology Kwa miaka mitano(5) Kwa NGAZI zote yaan A-Level na O- Level. Napatikana kitunda Dar es Salaam.

Kama kuna shule inahitaji Mwalimu wa masomo haya nko tayari. Pia niko na tution nafundisha hapa kivule, pamoja na walimu wenzangu wa masomo mengine.

Na kwa wale wazazi ambao hawapendi watoto wao waende mbali tunafanya tutoring Kwa kuwafuata nyumbani Kwa Bei nafuu kabisa (hapa ni pamoja na wale wa primary school). Soon tutakuwa pia na huduma ya pre-form one. Kwa mwenye uhitaji naomba anitumie ujumbe, (ani PM) ili kuweza kuwasiliana.

Ahsanteni.
Fanya mambo mengine, walimu wapo wengi mitaani na waliobahatika kujishikiza wanalipwa laki laki ikizidi sn laki na 50 so utatoboa kweli.

Achana na hiyo degree yako piga mbishe nyingine
 
Fanya mambo mengine, walimu wapo wengi mitaani na waliobahatika kujishikiza wanalipwa laki laki ikizidi sn laki na 50 so utatoboa kweli.

Achana na hiyo degree yako piga mbishe nyingine
Ahsante nashukuru, pia mishe zingine napiga Ila ni mpaka jioni, so muda wa asubuhi mpaka mchana naweza itumia iyo degree pia. Labda unishauri iyo mishe nyingine ipi.
 
Back
Top Bottom