ufumawicha
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 504
- 209
Kwenye kaduka kangu nataka niongeze na huduma za Airtel money,M pesa,tigo pesa na Halopesa.Tayari nimeshaomba laini hizo toka mwezi wa 8 mwaka huu ila bado sijaletewa laini hata moja.Kila nikifuatilia najibiwa bado kidogo.Kwa mnaojua laini hizi huchukua muda gani hadi kumfikia muhusika(aliyeziomba)?
Pia changamoto na faida za biashara hii ni zipi?Mimi nimeamua kuziweka kwa sababu wateja wangu wamekuwa wakija kwangu na kutaka niwafanyie miamala hiyo wakidhani tayari nina huduma hizo.Kwa anayefahamu mambo haya niliyouliza hapo naomba anijuze,tafadhali!!!!!!
Pia changamoto na faida za biashara hii ni zipi?Mimi nimeamua kuziweka kwa sababu wateja wangu wamekuwa wakija kwangu na kutaka niwafanyie miamala hiyo wakidhani tayari nina huduma hizo.Kwa anayefahamu mambo haya niliyouliza hapo naomba anijuze,tafadhali!!!!!!