RISK(HASARA)
1.Kuna baadhi ya wateja sio waaminifu kuwa makini Sana.
2.Wizi
3.Kamisheni ...unaweza usilipwe ikitokea wakagundua unatumia lipa namba (sio KWA wote)
4.Unaweza kutapeliwa na mteja .....inafanana na point ya 1(KWANZA) hapa namaanisha ukitaka kutuma hela mfano mteja anaweza kuwa na hela pungufu anakushinikiza tuma fasta kuwa taratibu hesabu hela ndoo utume.
FAIDA
1.Hela ya kukidhi mahitaji YAKO kama mzunguko ni mkubwa (watu wakiwa weng wanaotumia hio huduma)
2.Kujuana na watu mbalimbali
3.Connection za maisha
Vingine ni vile Mungu amekupangia KILA la kheri pia pitia nyuzi za nyingine zinazohusiana na yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.