Mwenye ujuzi na water pump

Luhomano

Member
Joined
May 1, 2020
Posts
57
Reaction score
32
Wakuu habari,

Alhamisi niliuliza mwenye ujuzi wa water pump maana pump yangu ya kuvuta maji imekatika kifaa cha kupokea mafuta kutoka kwenye tank kwenda kwenye engine sasa naomba mwenye ujuzi na hizo pump anisaidie jinsi ya kutatua tatizo. Aina ya pump ni BICSTAR.

Kifaa chenyewe kabla hakijavunjika na baada ya kuvunjika.
 

Attachments

  • IMG_20200516_172938.jpg
    58.9 KB · Views: 12
  • IMG_20200516_172815.jpg
    57.8 KB · Views: 12
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…