Nguvu sio Pesa
JF-Expert Member
- Dec 5, 2013
- 380
- 284
Wakuu,
Poleni Na majukumu.Rejea kichwa cha habari hapo juu.
Mwenye uzoefu wowote Wa biashara amwage nondo hapa tuweze kujifunza hii baishara.
Nimeona majiko mawili makubwa maeneo ya kimara stendi.".vijana wako bizy" sana wanachoma chapati Na inavyonekana wanapata wateja wengi sana..wanaotoka makazini wanaoenda kazini shift za usiku.
Majiko niliyo yaona ni ya kuchoma chapati sita kwa mpigo.Nilijaribu kuuliza vijana wale lakini hawakua open kwangu kivile.
Poleni Na majukumu.Rejea kichwa cha habari hapo juu.
Mwenye uzoefu wowote Wa biashara amwage nondo hapa tuweze kujifunza hii baishara.
Nimeona majiko mawili makubwa maeneo ya kimara stendi.".vijana wako bizy" sana wanachoma chapati Na inavyonekana wanapata wateja wengi sana..wanaotoka makazini wanaoenda kazini shift za usiku.
Majiko niliyo yaona ni ya kuchoma chapati sita kwa mpigo.Nilijaribu kuuliza vijana wale lakini hawakua open kwangu kivile.