Mwenye ujuzi wa kutengeneza Tambi (Spageti) msaada wako unahitajika

Mwenye ujuzi wa kutengeneza Tambi (Spageti) msaada wako unahitajika

beeper

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2013
Posts
253
Reaction score
106
Habari wadau.

Naomba mtu mwenye ujuzi wa kutengeneza Tambi za Kula (Spageti) bila mashine maana Mwezi Mtukufu unakaribia.

Kuna kipindi niliona pale Buguruni wanatengezeza.
 
Back
Top Bottom