Mwenye ujuzi wa pampu za kuvuta maji (Water Pump)

Luhomano

Member
Joined
May 1, 2020
Posts
57
Reaction score
32
Wakuu habari za saizi, nimenunua pump ya kuvuta maji kwaajili ya kilimo chaumwagiliaji sasa katika harakati za ufanyaji kazi wake imekatika chuma kinachopokea mafuta kutoka kwenye tank kwenda kwenye mrija unaopelekamafuta kwenye engine.

Wakuu naomba msaada was jinsi ya kupata hiyo spare au kama kuna namna naweza Fanya kutatua hilo tatizo ili niweze endelea na kilimo maana mazao yananyauka kwa kukosa maji.
 
Kama hutojali piga picha palipo katika .
 
Uko mkoa gani, Kama upo Mbeya nikuunganishe na Deka linalouza hizo spare pamoja na mafundi wapo hapo hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…