Mliambiwa? Na nani? Wewe na nani? Unachochea hasira zako za wivu bure, itakusaidia nini? Tafuta shoka anza kukata tamaa, Uchaguzi ushaisha tubiri 2030. If y,ou are serious nenda TRC au TANESCO watakajuvya lakini watakuuliza unauluza kama nani na iweje? Utajibuje! I hope hukutumwa toka Amsterdam au Ubelgiji.