Mwenye ushauri kuhusu gari

kamanyora

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2013
Posts
209
Reaction score
133
Kuna rafiki yangu amenifata kuomba ushauri kwamba yeye ana gari aina ya toyota RAV4 ya milango 5 mwaka 1998,ambayo imeshatumika hapa tz.
kuna mtu kamfata kwamba wabadilishane na toyota IST ya mwaka 2003 hii ist ni mpya haijatumika hapa tz,mimi nimeshindwa la kumjibu kwa kuwa sio mtaalam wa magari,je huo uwiano uko sawa?
 
Hzo ni gari mbili tofauti sana kwa mana of price. engene size. mana yake fuel consumption.inategeme hyo rav 4 inahari gani? ila kama ni kwa matumizi ya hapa mjini ist pouwa ila kama ni mtu wa mihangaiko rav 4 ndyo kila ki2 popote unaenda mana nyingi ni 4wheel sasa juu yake kuchgua kutokana na matumiz yake lakini if other factors remain constant. rav 4 ni deal.
 
achana na IST, haina ungangari wa barabara mbovu za Tz na ikigongwa ni majanga tu ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…