jamani mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji ila kila napototolesha vifaranga majogoo wanatotolewa wengi kuliko matetea.
Naomba kujuzwa kama kuna tecknolojia ya kulitambua yai lenye kifaranga cha kike au cha kiume kabla ya kutotolesha.
Najua hapa wataalam wapo wengi hebu nipeni mbinu
Naomba kujuzwa kama kuna tecknolojia ya kulitambua yai lenye kifaranga cha kike au cha kiume kabla ya kutotolesha.
Najua hapa wataalam wapo wengi hebu nipeni mbinu