Mwenye utaalamu na biashara ya nguo za watoto

Ebenezer14

Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
5
Reaction score
3
Mwenye idea kuhusu biashara ya nguo za watoto za mtumba, yaani jinsi ya kupata mzigo, capital ya kuanzia na operation cost, msaada please.
 
Unataka uweke dukani au unatembeza
 
Mie nilienda maeneo ya mnazi Mona kufanya utafiti modogo:kuna nguao kutoka Canada,China na Dubai being zina range tofauti tofauti kulingana na grade ya mzigo.
Tafuta muda ufike pale utapata ABC,but jambo muhimu ni kuwa ni risk business kama zilivyo business zingine unaweza ukachukua bello akakuta nguo sio mzuri zikakupeleka hasara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…