Unachimba au unajenga shimo la kina cha futi moja, unafunika nailon au turubai lisilopitisha maji, unajaza maji kwa kina cha sentimeta 15(nusu ya futi), unatia samadi debe kadhaa kutegemea ukubwa wa bwawa, unaacha kwa wiki mbili, kisha unatia mbegu za azola, siku kadhaa inakuwa imekuwa imejaa bwawa. Ukivuna theluthi mbili ndani ya siku nne inakuwa imejaa tena. Pia tembelea yutyubu kuna mafunzo mazuri huko sikuhizi. Mbegu kuna jamaa wanauza wako MbeyaNimekuwa nikisikia sifa kemkem za mmea wa Azolla kwamba unafaa sana kwa kulishia kuku, ng'ombe na samaki.
Inaelezwa kuwa una kiasi kikubwa sana cha protein, madini na vitamin. Pamoja na kuusoma kwenye mtandao bado sijapata utaalamu wa kutosha.
Naomba mwenye uzoefu wa uzalishaji wa huu mmea anisaidie kuhusu
1. Mbegu zake nitazipata wapi
2. Jinsi kuandaa bwawa au shimo la kuzalishia
3. Vitu muhimu vinavyotakiwa pamoja na gharama nk.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante, nilifuatilia source tofauti tofauti na sasa nimekuwa Mwl.Unachimba au unajenga shimo la kina cha futi moja, unafunika nailon au turubai lisilopitisha maji, unajaza maji kwa kina cha sentimeta 15(nusu ya futi), unatia samadi debe kadhaa kutegemea ukubwa wa bwawa, unaacha kwa wiki mbili, kisha unatia mbegu za azola, siku kadhaa inakuwa imekuwa imejaa bwawa. Ukivuna theluthi mbili ndani ya siku nne inakuwa imejaa tena. Pia tembelea yutyubu kuna mafunzo mazuri huko sikuhizi. Mbegu kuna jamaa wanauza wako Mbeya
Nadhani inatangulia samadi iliyochanganywa na mbegu alafu ndio , aji yanafuata.Unachimba au unajenga shimo la kina cha futi moja, unafunika nailon au turubai lisilopitisha maji, unajaza maji kwa kina cha sentimeta 15(nusu ya futi), unatia samadi debe kadhaa kutegemea ukubwa wa bwawa, unaacha kwa wiki mbili, kisha unatia mbegu za azola, siku kadhaa inakuwa imekuwa imejaa bwawa. Ukivuna theluthi mbili ndani ya siku nne inakuwa imejaa tena. Pia tembelea yutyubu kuna mafunzo mazuri huko sikuhizi. Mbegu kuna jamaa wanauza wako Mbeya
Nàfanya kilimo Cha azolla tangu 2017,Nadhani inatangulia samadi iliyochanganywa na mbegu alafu ndio , aji yanafuata.
Kilo moja ya mbegu ni elf20; kwa shimo lenye upana wa 4*2M angalau unatakiwa kuweka kilo mbili Ili zijae haraka, sina kumvukumbu vizuri Ila inachukua mwezi na ushee kujaa kwa mara ya kwanza