Mwenye uweleewa wa biashara ya alluminium Windows na frame

Mwenye uweleewa wa biashara ya alluminium Windows na frame

vini23

Member
Joined
Sep 25, 2019
Posts
37
Reaction score
30
Ndugu wapendwa mimi ni kijana mwenye uchu wa maendeleo,ninapatikana Dar es salaam nataka nifungue office ya kutengeneza alluminium,Mm si fundi bali nataka kuajiri mafundi na niwalipe kulingana na kazi.Napenda kujua vifaa vinavyohitajika,mtaji wa kuanzia,upatikanaji wake,soko la biashara,uendeshaji mrahisi na pia kwa ujumla changamoto ya hii biashara.Plz naombeni msaada wenu
 
Back
Top Bottom