Hivi karibuni kuna kijana moja ambaye baba yake ndio kiongozi wa jamhuri ya muungano wa tanzania alidai/alitamkaa kwamba watanzania wanatakiwa kuelewa kwamba kila mtanzania/wengi wa watanzania wanaishi kiunjaa/ujanjaa ili kualalisha kuendesha mafari au kuonekana na mali ya thamani ya juu.
sasa jambo la kujiulizamiongoni mwetu kwamba hili tamko au fikra ndio uwezo wa kijana huyu au ndio uwezo wa watanzania? na ni nini tunacho jifunza ikiwa mtoto wa muongoza nchi anapokuwa anaishi kiunjaa unjaaa ili hali amesoma hapo ubungo na mzazi wakee ndio kiongozi wa nchi.
je ni tamkoo rasmi la nchi kwamba li tuweze kuishi vizuri basi tuishii kiunjaa ujanjaaa au ndio akili ya waliosomea ubungo ilivyo au ndio kauli mbio ya kiongozi wa nchii yetu? naambo tulijadili hili na kuwekena sawa ili iwe ndio mfano wa maisha ya watoto wa viongozi wetu/au wa viongozi wetu wajue wanacho takiwa kufunya kwa ajili ya maendeleo ya nchi.
sasa jambo la kujiulizamiongoni mwetu kwamba hili tamko au fikra ndio uwezo wa kijana huyu au ndio uwezo wa watanzania? na ni nini tunacho jifunza ikiwa mtoto wa muongoza nchi anapokuwa anaishi kiunjaa unjaaa ili hali amesoma hapo ubungo na mzazi wakee ndio kiongozi wa nchi.
je ni tamkoo rasmi la nchi kwamba li tuweze kuishi vizuri basi tuishii kiunjaa ujanjaaa au ndio akili ya waliosomea ubungo ilivyo au ndio kauli mbio ya kiongozi wa nchii yetu? naambo tulijadili hili na kuwekena sawa ili iwe ndio mfano wa maisha ya watoto wa viongozi wetu/au wa viongozi wetu wajue wanacho takiwa kufunya kwa ajili ya maendeleo ya nchi.