milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Soon ata like hata huu uziWakulike
Soon ata like hata huu uzi
Jamaa alipiga like kabla uzi haujaenda hewani!raraa reree unaitwa huku kusambaza like mkuuπ
Hii robotJamaa alipiga like kabla uzi haujaenda hewani!
raraa reree habari nyingine wakuu.
Yuko vizuri, hata ukilimpomdaje anakupa like then anakujankujibu!!Unaweza kukuta huyu mwamba ni surveyor humu mjengoni. Maana kila Uzi anapiga gumba
Kabisaa mkazi wa chimbila AYuko vizuri, hata ukilimpomdaje anakupa like then anakujankujibu!!
In short ni Member anamwaga like za kufa mtu! angekuwa mwalimu kwenye paper angekuwa sio HARD MARKER, angekuwa mtu wa kumwaga marks inflation!!ππππππ΄π΄π΄
π€π€π€π€π€π΄π΄π΄π΄Kabisaa mkazi wa chimbila A
ni kweli hlf ngozi nyeusiNaongezea tu alafu kumbe ni mzungu.