Ukihitaji mihan gas kwa wingi/jumla tuwasiliane.Niko Arusha mjini nikuwa wakala wa kubadilisha mitungi mfano manjis,orxy n.k
Pamoja na mwongozo mzuri wa wadau hapa jamvini, naona ni busara pia kutembelea ofisi za hizo kampuni za gas unazotaka kufanya nazo biashara ili kupata maelezo ya kina.Je ukitaka kua wakala unatakiwa uwe na mtaji wa kiasi gani.
Wala asicomplicate issue atafute mtaji wa kama 1,000,000 mizani ya kupima awapigie walete mzigo auzePamoja na mwongozo mzuri wa wadau hapa jamvini, naona ni busara pia kutembelea ofisi za hizo kampuni za gas unazotaka kufanya nazo biashara ili kupata maelezo ya kina.
0715 732 266 wapigie no hii wauzaji wa jumla watakuletea ulipoKwa dar office zao zipo wap
Me pia naitaji nipo darUko mkoa gan???
Kwa dar office zao zipo WAP kwa temekePamoja na mwongozo mzuri wa wadau hapa jamvini, naona ni busara pia kutembelea ofisi za hizo kampuni za gas unazotaka kufanya nazo biashara ili kupata maelezo ya kina.
0715-445468 mkuu tuwasiliane nataka hii biasharaBei ya jumla complete kg 15 ni 85,000 na kurefill ni 41,000
Kg6 complete ni 39,000 kurefill 16,000
So unaweza anza na mtaji utakao ona wewe wafaa baadaye ukiona wateja qameongezeka utaongeza mtaji.
Hebu njoo pm mkuuBei ya jumla complete kg 15 ni 85,000 na kurefill ni 41,000
Kg6 complete ni 39,000 kurefill 16,000
So unaweza anza na mtaji utakao ona wewe wafaa baadaye ukiona wateja qameongezeka utaongeza mtaji.