Mwenye uzoefu na biashara ya kuuza bia kwa jumla

Jaslaws

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2011
Posts
6,016
Reaction score
5,296
Kichwa cha habari kinajieleza...wadau nmekua na wazo la kuuza bia kwa jumla ila sina uzoefu wowote kama kuna mtu yoyote mwenye ufahamu wa jinsi ni vip naweza kupata cret na chupa tupu za bia,pia faida inapatikana vipi..yani na nunua shilingi ngapi na kuuza kwa bei gani anaweza kunisaidia..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…