Magari ya kukodisha
JF-Expert Member
- Sep 16, 2019
- 412
- 695
Changamoto zake ni zipi haswaBiashara ya kitajiri Sana hii.
Umeme wa elfu 50 tu, Unaweza kusaga na kukoboa mahindi ya milioni 7.5 (Tani 5)
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kujua changamoto zake na mashine ipi BoraHii biashara in mzuri kama upon kwenye eneo lenye nafaka nyingi ( mfano, mahindi) Kuhusu gharama zipo za umeme na matengenezo madogo madogo.
Kwenye umeme Sh. Elfu 10 unapata unit 28.4 ambazo hadi zinaisha utapata wastani wa shilingi elfu 20 hadi 35 elf. (Bei sh. 50).
Vibarua ni maelewano na kama utakoboa mahindi utapata pia Pumba na kuziuza.
Karibu.
Mimi pia sifahamuNikitaka kuutag huu uzi nafanyaje?
Nikitaka kuutag huu uzi nafanyaje?
Mimi pia sifahamu
Usimamizi wa karibu kwa vibarua wako ndil1o jambo la kuliangalia sana, has a kwenye utumzaji wa mashine, ukusanyaji mapato na ubora wa huduma.Naomba kujua changamoto zake na mashine ipi Bora
UmemeChangamoto zake ni zipi haswa
Umeme
Malighafi
debe asage kwa bei ganiBiashara ya kitajiri Sana hii.
Umeme wa elfu 50 tu, Unaweza kusaga na kukoboa mahindi ya milioni 7.5 (Tani 5)
Sent using Jamii Forums mobile app
Roughly andaa million kumiMwenye ufaham tusaidie budget yake namaanisha bei ya vinu na mota