Mwenye uzoefu na Chain saw

Mwenye uzoefu na Chain saw

Mwamba028

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2013
Posts
4,595
Reaction score
3,670
Nna kashamba kangu nataka nikaandae kwa kilimo ila mule shambani kuna miti ya mikorosho km 20 hivi mikubwa na ya saiz ya kati,,mm nataka kuikata then niichome mkaa ss mtu wa chain saw ananambia ni lita 7, na muundo wa malipo ni elfu 18 kwa kila lita itakayoisha

Wadau ambao mna uzoefu na chain saw au kukata miti kwa hyo mashine je ni sawa hii mana mm nimeona itakuwa ghali sana na jamaa nimemkataa kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama chainsaw ghali bas njoo nkupe shoka. Itagharimu plate ya ugali na dumu la maji tu. Sio zaidi ya elfu tatu kila mkorosho!
 
Kodi chainsaw kwa siku.... Lakini Kabla hujkodi, kumbuka yafuatayo....

Inatakiwa iwe imesajiliwa hapo kijijini

Uwe na kubali cha kukata hiyo miti, tena mikorosho...... Sijui itakuwaje.

Na mengine ni kwa mujibu wa eneo husika.


Nimelala rumande kwa kungurumisha chainsaw shambani kwangu.
 
Kodi chainsaw kwa siku.... Lakini Kabla hujkodi, kumbuka yafuatayo....

Inatakiwa iwe imesajiliwa hapo kijijini

Uwe na kubali cha kukata hiyo miti, tena mikorosho...... Sijui itakuwaje.

Na mengine ni kwa mujibu wa eneo husika.


Nimelala rumande kwa kungurumisha chainsaw shambani kwangu.
Hahahahah
 
Kodi chainsaw kwa siku.... Lakini Kabla hujkodi, kumbuka yafuatayo....

Inatakiwa iwe imesajiliwa hapo kijijini

Uwe na kubali cha kukata hiyo miti, tena mikorosho...... Sijui itakuwaje.

Na mengine ni kwa mujibu wa eneo husika.


Nimelala rumande kwa kungurumisha chainsaw shambani kwangu.
Nashkuru mkuu, kibali nishapata barua ya serikal ya mtaa na ya bwana shamba wa kijiji ntawapelekea wazee wa mali asili pale vigwaza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu hivi dumu la lita 20 wastani inatakiwa limalize heka ngapi ikiwa miti sio mikubwa sana na wala haikufungana sana.
 
Back
Top Bottom