Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani TV yako ina kisimbuzi/king'amuzi cha ndani kwa ndani huitaji kununua kisimbuzi, So AZAM huwa wana Card zake TV za aina hii (Cam Card) ukienda kwenye ofisi zao wanakupa hako ka kadi na DISH/Antenna. Wewe unakuja kukapachika hapo tu huna haja ya kununua king'amuzi chao..Sijakuelewa mzeee
LG ipi mkuu?Aina ya LG
Ahsante nilitaka kumjibu ila umeshamjibu ... TV yangu sio multimedia kabisa TV kama hizi mnazipataga wapi?hiyo TV ni ina "built in" king'amuzi, so kama ukienda Azam TV wanakupa Cam card na Dish then mchezo umekwisha
Huo ushauri wa mwisho ndio ushauri sahihi, hao jamaa hawakupi hiyo cam card moja kwa moja, huwa wanataka kwanza uende na Tv maana kuna muda zinazingua.Yaani TV yako ina kisimbuzi/king'amuzi cha ndani kwa ndani huitaji kununua kisimbuzi, So AZAM huwa wana Card zake TV za aina hii (Cam Card) ukienda kwenye ofisi zao wanakupa hako ka kadi na DISH/Antenna. Wewe unakuja kukapachika hapo tu huna haja ya kununua king'amuzi chao..
Au bado hujaelewa? Kama hujaelewa beba hiyo TV yako nenda nayo ofisi za AZAM watakuelewesha.
Ni adimu sana hapa Bongo kuzipata mpaka uagize nje..Ahsante nilitaka kumjibu ila umeshamjibu ... TV yangu sio multimedia kabisa TV kama hizi mnazipataga wapi?
TV kama hizi zinakuwa ni used kutoka Ulaya Wazungu wanatumia vitu tofauti na sisi Dunia ya tatu we ukitaka kujua nunua Tv used kutoka Ulaya na Ununue Tv kwenye Maduka ya Kariakoo utakuja kugundua TV uliyonunua mtumba ina vitu vingi sana tofauti na tv mpya ya dukani Kariakoo.Ahsante nilitaka kumjibu ila umeshamjibu ... TV yangu sio multimedia kabisa TV kama hizi mnazipataga wapi?
Ukienda Zanzibar unazipata lakini used yani Zanzibar kuna Tv nzuri sana Used yani kama ni mpenzi wa Tv za kisasa Zanzibar ndiyo zipo sema used.Ni adimu sana hapa Bongo kuzipata mpaka uagize nje..
Sio mbaya kama ni used from abroad.. zisiwe used hapa na wabongo hahaaa...Ukienda Zanzibar unazipata lakini used yani Zanzibar kuna Tv nzuri sana Used yani kama ni mpenzi wa Tv za kisasa Zanzibar ndiyo zipo sema used.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Ni used kutoka nje tena kampuni kubwa, Sony, Panasonic, Hitachi, LG, Sharp, Phillips Samsung, JVC.Sio mbaya kama ni used from abroad.. zisiwe used hapa na wabongo hahaaa...
[emoji1787]Yaani TV yako ina kisimbuzi/king'amuzi cha ndani kwa ndani huitaji kununua kisimbuzi, So AZAM huwa wana Card zake TV za aina hii (Cam Card) ukienda kwenye ofisi zao wanakupa hako ka kadi na DISH/Antenna. Wewe unakuja kukapachika hapo tu huna haja ya kununua king'amuzi chao..
Au bado hujaelewa? Kama hujaelewa beba hiyo TV yako nenda nayo ofisi za AZAM watakuelewesha.
Tupe namba za wauzaji walioki Zanzibar nataka TV na redioUkienda Zanzibar unazipata lakini used yani Zanzibar kuna Tv nzuri sana Used yani kama ni mpenzi wa Tv za kisasa Zanzibar ndiyo zipo sema used.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Hamna lolote miye nina samsung LED inayo hiyo na nilinunua tandika miaka 2014 inchi 32.Ni adimu sana hapa Bongo kuzipata mpaka uagize nje..