The choosen one1
Member
- Dec 13, 2023
- 67
- 238
Mfano unataka kununua hizo za elfu16 alafu wewe uje kuuza shi ngapi? Maana usije ona zinauzwa bei ndogo kumbe ukinunua utaishia kupata hasara.Wakuu nilikuwa napitia bei za vitochi vya Nokia alibaba naona ni ndogo sana View attachment 2948579
nawaza nijaribu japo kwa piece 4 , ila sina uzoefu wowote naombeni muongozo wakuu
Screenshot yaonesha minimum order ni 5 pcsjapo kwa piece 4
kwahiyo hapo nafanya aje ili kupata faidaScreenshot yaonesha minimum order ni 5 pcs
View attachment 2948760
- NB: Kwa idadi ndogo hautopata faida, maana kuna ghalama za usafirishaji hazijawekwa hapo. | Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa
Ikiwa lengo ni kufanya biashara, agiza kuanzia 100pcs au zaidikwahiyo hapo nafanya aje ili kupata faida
Asante sana mkuuSOMO LA BURE: Namna ya kuagiza bidhaa kutoka CHINA kwa ajili ya biashara (jumla) Kupitia Mtandao alibaba kwa kutumia simu yako
Ningependa kutoa somo la bure kwa wale ambao wanawaza jinsi gani wanaweza kuanza kuagiza bidhaa kutoka china. Bidhaa hizi ni za jumla kwa ajili ya biashara. Utaagiza moja kwa moja kutoka kwa wazalishaji. Kupitia uzi huu utaweza kuona bei halisi za bidhaa pamoja na kujua ni jinsi gani...www.jamiiforums.com