Tafadhali aliyewahi kufanya business hii aliwa Tanzania alifahamishe jukwaa mambo yafuatayo: aliwezaje, security, ni website ipi aliyoyumia, what are the challenges, na profit margin yake ikoje?
Na toa ushauri kama huu ndio wakati muafaka wa kununua stocks kutokana na kuanguka kwa masoko ya mitaji ulaya.
Asanteni