Andres
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 502
- 815
Wakuu nisiwachoshe kwa maneno mengi
Nimekutana na gari inauzwa nikaielewa kwa muonekano wake wa nje kwakweli.
Ni Toyota Camry, Engine 2AZ, 1600cc, Petrol.
Naomba ushauri wa mwenye uzoefu na hizi gari, nini hasa changamoto zake kama zipo ?
Natanguliza shukrani
Nimekutana na gari inauzwa nikaielewa kwa muonekano wake wa nje kwakweli.
Ni Toyota Camry, Engine 2AZ, 1600cc, Petrol.
Naomba ushauri wa mwenye uzoefu na hizi gari, nini hasa changamoto zake kama zipo ?
Natanguliza shukrani