Mkushi w jani
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 1,798
- 1,570
Kama tittle inavyojielezea naomba kujua kwa wazoefu wa biashara za uji ambazo mara nyingi huwa zinafanyika asubuhi na jioni aweze kunipa nondo zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko morogoro ndguUko mkoa gani? Ni pm nikuunganisha na mtu akupe Idea kwenye uji unaweza toboa
yaaaap bossHuwa inauzika sana maeneo ya hospitali na vituo vya mabasi
nataka nitafute mdada ndo nimpe iyo kazi ya kusambazaAsilimia 95 ya wanawake wanao uza uji wanauza pia mbunye ni kama wale Wanawake watembeza nguo.Na kama hauzi mbunye utaingia kwenye mtego tu na huwezi kuchomoka na utajikuta unaanza kuuza-maana wanunua uji 100% ni wanaume.
wamenigomeaNgoja waje kukupa muongozo...
Subira yavuta kheri...wamenigomea
yaaap ni kweliSubira yavuta kheri...