Mwenye uzoefu wa kusafirisha mizigo kwa njia ya meli

Mwenye uzoefu wa kusafirisha mizigo kwa njia ya meli

Evari77

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2015
Posts
665
Reaction score
674
Habari wakuu,

Nimekuwa mzoefu kidogo kuagiza vitu kwa njia ya air kupitia makampuni mbalimbali.

Kwa leo nahitaji mwenye uzoefu wa njia ya meli.

Maana mizigo ya ndege inaenda kwa uzito.

Ila ya meli wanatumia cubic meters.

Naombeni ndondo zake.
 
Kwa uzoefu wangu natumiaga kampuni TOSH, Silent Ocean mostly kupokea mizigo ambayo inakuja kwa njia ya meli.
Mzigo unaweza ukafika mapema mpaka 3 weeks pia ikitokea baharini mambo sio poa unaweza kaa hata 6 month unasubiri mzigo.
Mzigo wako ukifika wao watakupigia simu, utaenda kulipia gharama za mzigo ambazo sio kubwa kama ukitumia ndege, alafu utapewa receipt ya kwenda kuchukua mzigo wako godown.
Kwa maelezo zaidi wa check mtandaoni uwapigie.
 
Back
Top Bottom