Mwenye uzoefu wa maxmalipo au selcom

borncool

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2013
Posts
226
Reaction score
49
Za asubuhi wakuu?, Nataka niulize kuhusu gharama za kujiunga na mojawapo ya hizo kampuni Kama wakala.ningependa nipate ufafanuzi wa faida zake na jinsi gani wakala hufaidika
Asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…