Mwenye video ya goli la Kagera Sugar lililokataliwa wakicheza na Yanga aiweke tupunguze kelele

Mwenye video ya goli la Kagera Sugar lililokataliwa wakicheza na Yanga aiweke tupunguze kelele

Kutokana na mayowe yanayozidi humu jukwaani juu ya goli la Aziz Ki jana kukataliwa kule bondeni aiweke ili ndugu zetu wapungeze kelele. Kunya anye kuku tu ikiwa bata kaharisha. Kagera Sugar nayo timu nao waliumia.
Magoli dhidi ya Singida Big Stars vs Makolokolo pia yaambatanishwe hapa ili tujue umbumbumbuni wote ni Mbumbumbu [emoji1]

Cc Tatu Malogo.

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kutokana na mayowe yanayozidi humu jukwaani juu ya goli la Aziz Ki jana kukataliwa kule bondeni aiweke ili ndugu zetu wapungeze kelele. Kunya anye kuku tu ikiwa bata kaharisha.

Kagera Sugar nayo timu nao waliumia.
Pale hapakuwa na VAR. Refa naye binadamu. Watu wanalalamikia haki pamoja na kuwepo kwa VAR
 
Kutokana na mayowe yanayozidi humu jukwaani juu ya goli la Aziz Ki jana kukataliwa kule bondeni aiweke ili ndugu zetu wapungeze kelele. Kunya anye kuku tu ikiwa bata kaharisha.

Kagera Sugar nayo timu nao waliumia.
Waandikie FFA
 
Kutokana na mayowe yanayozidi humu jukwaani juu ya goli la Aziz Ki jana kukataliwa kule bondeni aiweke ili ndugu zetu wapungeze kelele. Kunya anye kuku tu ikiwa bata kaharisha.

Kagera Sugar nayo timu nao waliumia.
NBC hakuna VAR ila kule ipo


Watu wanalalamika hapo، mbona faulo ya Lomalisa aliensa kuangalia ila goli hajaenda?
 
VAR ndiyo iliyothibitisha kuwa lile siyo goli. Hata huko CAF mnaenda kujidhalilisha tu
Punguza ujinga... Kama sio gori unakuja Mpira ulikuwa umetolewa na mchezaji wa Mamelod why haikuwa Kona?. Unapoleta Jambo fanya utafiti kidogo vinginevyo tutakukojoza kwa vidole.
 
Punguza ujinga... Kama sio gori unakuja Mpira ulikuwa umetolewa na mchezaji wa Mamelod why haikuwa Kona?. Unapoleta Jambo fanya utafiti kidogo vinginevyo tutakukojoza kwa vidole.
Mjinga wewe hapo Juma Lokole gori ndiyo nini?Umezoea kukojozwa kwa vidole kwa vile mumeo ni hanithi,toa location nije nikupe kitu taslimu hadi utoe mimaji.
 
Back
Top Bottom