Danny22
Member
- Jan 14, 2014
- 6
- 6
Tafadhali, kwa yeyote mwenye waraka huo au anayejua maudhui yake naomba anisaidie
Waraka huo unazungumzia:
Utaratibu wa kuomba Kibali cha kurejea katika Utumishi wa Umma.
Mara nyingi nafasi za ajira serikalini zinapotoka zinawataka "waombaji waliowahi kuajiriwa serikalini na kuacha kwa sababu mbalimbali wazingatie maelekezo yaliyo kwenye Waraka Na. CCB.228/271/01 wa tarehe 7 Agosti, 2012." Kabla ya kuomba ajira.
Natamani kujua content za waraka huo.
Waraka huo unazungumzia:
Utaratibu wa kuomba Kibali cha kurejea katika Utumishi wa Umma.
Mara nyingi nafasi za ajira serikalini zinapotoka zinawataka "waombaji waliowahi kuajiriwa serikalini na kuacha kwa sababu mbalimbali wazingatie maelekezo yaliyo kwenye Waraka Na. CCB.228/271/01 wa tarehe 7 Agosti, 2012." Kabla ya kuomba ajira.
Natamani kujua content za waraka huo.