Mwenye Waraka wa Serikali Na. CCB.228/271/01 wa tarehe 7 Agosti, 2012 naomba anisaidie

Mwenye Waraka wa Serikali Na. CCB.228/271/01 wa tarehe 7 Agosti, 2012 naomba anisaidie

Danny22

Member
Joined
Jan 14, 2014
Posts
6
Reaction score
6
Tafadhali, kwa yeyote mwenye waraka huo au anayejua maudhui yake naomba anisaidie

Waraka huo unazungumzia:

Utaratibu wa kuomba Kibali cha kurejea katika Utumishi wa Umma.

Mara nyingi nafasi za ajira serikalini zinapotoka zinawataka "waombaji waliowahi kuajiriwa serikalini na kuacha kwa sababu mbalimbali wazingatie maelekezo yaliyo kwenye Waraka Na. CCB.228/271/01 wa tarehe 7 Agosti, 2012." Kabla ya kuomba ajira.

Natamani kujua content za waraka huo.
 
Back
Top Bottom