Mwenye zamu ya kununua LUKU kaja na mshumaa

Mshangazi

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2024
Posts
1,143
Reaction score
4,462
Halafu anataka mimi nibaki ndani namsubiri yeye mpaka umeme wake uwake.

Vijana kuleni tu hizo viagra ujanani. Fainali uzeeni.

Pesa yako nakula halafu wewe unakula kwa macho coz huna umeme wa kuwasha taa yangu.

Nimesema tayari.

Mshangazi
 
Ambao hamjaelewa jiandikisheni tuisheni ya Mahaba niwape somo.
Mkitimia 10 nawapa pindi bure, kama hamjatimia mnalipia kila mmoja elfu 5.

Ila nimechekaaa....🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣

Luku imeisha...
Mshumaa...
Ukila nawewe utaliwa tuu hata kwa mbinde.....πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.

Daaah fedheha hii, babu Asprin njowo ujitetee huku....πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†.

K' Matata.
 
Siku nyingine akiwasha mshumaa wake mwambie aweke chumvi juu yake Ili usiishe mapema
 
Hii mada inatuhusu watakatifu au unanisumbua bure tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…