Hii mada inatuhusu watakatifu au unanisumbua bure tu?Ambao hamjaelewa jiandikisheni tuisheni ya Mahaba niwape somo.
Mkitimia 10 nawapa pindi bure, kama hamjatimia mnalipia kila mmoja elfu 5.
Ila nimechekaaa....π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Luku imeisha...
Mshumaa...
Ukila nawewe utaliwa tuu hata kwa mbinde.....ππππππ.
Daaah fedheha hii, babu Asprin njowo ujitetee huku....ππππ.
K' Matata.