Pre GE2025 Mwenyekiti ACT Wazalendo Dorothy Semu: Nikiteuliwa serikalini sitakubali uteuzi. Sitamani kufanya kazi nyingine zaidi ya ACT

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Doroth Semu ameeleza kuwa hatamani kufanya kazi sehemu nyingine tofauti na kukitumikia chama chake Cha ACT Wazalendo

Na kwamba hata akipewa kazi serikalini hawezi kukubali.

Ikumbukwe kuwa mwaka 2017 aliyekuwa mgombea wa ACT Wazalendo Anna Mgwhira aliachana na ACT Wazalendo na kujiunga na CCM kisha kupewa nafasi ya Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro na Magufuli

Your browser is not able to display this video.
 
Anatekenya apewe Ukuu wa Mkoa huyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…