Mwenyekiti aliondoa watu kwa mbinde Kimara Stop Over, jioni ajali mbaya ikatokea

Watu kama Mwenyekiti wenye Maono wapo wachache sana ,huyo aliaambiwa na Mungu kuwaondoa hao watu wema wasije kupata madhara.....Sehemu za barabarani/kandoni kufanya biashara ni hatari sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ