Pre GE2025 Mwenyekiti BAVICHA, Mahinyila: Vijana wanaoikosoa Serikali hawataisha, watu wanaokupinga huwezi kuwamaliza

Pre GE2025 Mwenyekiti BAVICHA, Mahinyila: Vijana wanaoikosoa Serikali hawataisha, watu wanaokupinga huwezi kuwamaliza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Ndugu zetu wanapotea na mtu kama huyu still bado yupo uraiani?!
CCM ipo siku yenu na si nyingi
Six5b0TZWlBbGx71.jpg
 
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), Deogratius Mahinyila, amesema kuwa Serikali inapaswa kutambua kwamba vijana wanaoikosoa hawataisha milele. "Watu wanaokupinga huwezi kuwamaliza"
Soma, Pia
kwahiyo sasa hiyo nonsense inasaidia nini kwa mfano gentleman? :NoGodNo:
 
Back
Top Bottom