Pre GE2025 Mwenyekiti BAVICHA Mwanza: Uchaguzi ukiwa huru, CHADEMA tunachukua nchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu

CHADEMA inaonekana kama wako serious sana na huu Uchaguzi


Msikilize hapa Mwenyekiti wa BAWACHA Mwanza Hosiana Kusiga:

Safu ya uongozi kwa Chama chetu imeshakamilika na tuna uhakika kama uchaguzi mkuu utafanyika kwa uhuru na haki basi CHADEMA tunachukua nchi na ndio maana tunasema (No reform no Election)"

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…