wacha wahamie wameona mbali;hawataka kuongozwa na kikundi cha watu kidicktetaBreaking news:
Mwenyekiti wa ccm Meru na katibu mwenezi wake wahamia chadema Leo.
Afisa habari wa chadema mh Ndonde amefika kuwapokea makada hao wa ccm
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ...!! Mbavu zangu aisee!!Ccm na chadema ni vyama ndugu vinashare hadi mafisadi
Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
Jingalao hajahama Chama!Jingalao
Kwahiyo huyu hajahongwa! Upande wa pili ndio....Safi
Swissme