LGE2024 Mwenyekiti CCM ni dude kubwa lisilohitaji wenyeviti wa mitaa, ndio maana hamfanyii mtu yeyote kampeni

LGE2024 Mwenyekiti CCM ni dude kubwa lisilohitaji wenyeviti wa mitaa, ndio maana hamfanyii mtu yeyote kampeni

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Wakati namwona Mh. Mbowe kule Songwe na Mbeya, namwona Mdude Nyagali Ileje hatua mbili uingie Malawi na mbili uingie Zambia, namwona Tundu Lissu Mara Mwanza na KESHO Ikungi kwao

Namwona Zitto Zuber Kabwe kwao Kigoma huku akishiriki Dua na kuendelea na kampeni. Naliona Mwenyekiti CCM hana tabu ndio kwanza anatunukiwa PhD ya HESHIMA!

Je, yeye hafanyi kampeni hata Moja? Hawahitaji hawa viongozi wa chini? Kongole CCM.
 
..anaona aibu.

..jinsi alivyomtumia mkwe wake kuengua wapinzani, na kuvuruga uchaguzi.
 
Back
Top Bottom